Makena

Najua Hutaniacha

Makena


Tom: Am

Am F C G

[Verse 1]
Am                   F
Nilikuwa natafuta rahisi,
   C            G
Atakaye kuwa wa kudumu
Am                    F
Nilikuwa nimekosa tumaini
          C                   G
Kwani binadamu wabadilika kama kinyonga

[Refrain]
Am                     F              C           G
Tangu nikupate Yesu, sitafuti tena upendo wako unanipa nguvu
Am             F            C                   G
Nikuwe nawe Yesu, nitaogopa nani nitaogopa nini eeeh

[Chorus]
Am                              F
Najua hutaniacha, pawe na shida pasiwe
C                 G
Wewe ni mwaninifu milele
Am                F
Najua hutaniacha, pawe na shida pasiwe
C                 G
Wewe ni mwaninifu milele,
Am     F      C     G
Milele,milele,milele.....
Am     F      C     G
Taratatata

[Verse 2]
Am             F
Tena nikapata, marafiki kadhaa
C                      G
Punde shida ilipoingia nao waliondoka
Am      F
Nikalia mpaka nilipokumbuka
 C               G
Kuwa kuna rafiki asiye badilika

[Refrain]
Am                     F              C           G
Tangu nikupate Yesu, sitafuti tena upendo wako unanipa nguvu
Am             F            C                   G
Nikuwe nawe Yesu, nitaogopa nani nitaogopa nini eeeh

[Chorus]
Am                              F
Najua hutaniacha, pawe na shida pasiwe
C                 G
Wewe ni mwaninifu milele
Am                F
Najua hutaniacha, pawe na shida pasiwe
C                 G
Wewe ni mwaninifu milele,
Am     F      C     G
Milele,milele,milele.....