Rayvanny

Huu Mwaka

Rayvanny


Huu mwaka eeh
Ndo mwaka wakufosi
Yaani mtake msitake
Huu mwaka mtaniita boss

Oya! Sieti, Chui!
Oh, no, no, no
(Ma Feelings make It)

Huu mwaka eeh
Ndo mwaka wakufosi
Yaani mtake msitake
Mtaniita boss

Huu mwaka eeeh! Wa Faida sio loss
Tushalala njaa huu mwaka mwendo wa misosi
Sisi mungu!
Anatulinda
Japo maadui wengi wanatiwinda
Vita nyingi ila tutashinda
Tushanyanyasika
Huu mwaka mwendo wa kuvimba!

Huu mwaka nanunua gari niwape lifti
Ameen!
Huu mwaka namaliza nyumba yangu kibiti
Huu mwaka wa machozi 
Kwa Ex alienisaliti
Siku ya harusi yangu msimpe hata juisi
Anikomee!

Huu mwaka eeeh!
Huu mwaka eeeh!
Huu mwaka eeeh!
Huu mwaka eeeh!

Huu mwaka eeh
Ndo mwaka wakufosi
Yaani mtake msitake
Mtaniita boss

Huu mwaka eeeh!
Huu mwaka eeeh!
Huu mwaka eeeh!
Huu mwaka eeeh!

Kwanza nashukuru tumevuka 
Tumeuona
Yale yalio pita yametukomaza
Oya wanangu wa boda boda 
Wakina mama wauza mboga 
Ata wachawi wabeba nyota
Huu mwaka ni wetu

Kama unadanga danga sana
Ila usisahau ku meki bwana
Uje kujenga kakibanda
Nawe uwe na kwenu
Na ukipata limama, eeh likomoe
Likupe pesa huu mwaka utoboe
Oya usikae kizembe 
Na usichague jembe
Kama mkulima lima
Kama unaimba imba
Utoboe

Huu mwaka eeeh!
Huu mwaka eeeh!
Huu mwaka eeeh!
Huu mwaka eeeh!